HEADING ANIMATIONS

HEADING ANIMATIONS

FANYA KAZI YA MUNGU

FANYA KAZI YA MUNGU

Saturday, June 16, 2012


 DADA KEMY, NAWASALIMU KATIKA JINA LA YESU.
Kemy ni mwigizaji wa filamu ambaye kwa sasa nimeokoka nafanya kazi ya Mungu kwa nguvu zangu zote. Nakuomba na wewe mdau wangu uingie katika kazi ya Mungu wakati huu ambao umepewa nafasi ya kutosha. Utafika wakati utashindwa hata kutamka neno na nafsi yako itahitaji kusema jambo lakini nguvu yako ikashindwa kukuwezesha kusema hilo ambalo unataka kusema. Tufanye kazi ya Mungu 
 
Mbali ya hayo yote, nakukaribisha katika blogu hii mpya (www.gilgalentertainment.blogspot.com) ambayo utakuwa unapata Neno la Mungu na kujua Kampuni yangu ya Gilgal inafanya nini kuchangia jamii katika kazi ya BWANA. Kuna mengi utayajua kuhusiana na Gilgal, mojawapo ni uuandaji wa filamu, kusaidia jamii hasa wasiojiweza,

Usiweke machungu ndani ya moyo wako, yanaweza kukusababishia ukawa mbali na Mungu na kukuletea magojwa. Mtafakari Mungu wakati wa shida zako. Mwambie Mungu asemi na wewe na uombe nguvu zake zikuujie wakati wa mapito makali
 Furaha hundoa stree na mikunjo ya sura yako ewe mpendwa
 Sikia maoni yangu..mtumikie Mungu angali u hai..siku ya kufumba macho hutapata nafasi tena ya kumtangaza Kristo
 Matembezi ni bora, hukusaidia kujua yale ambayo ulikuwa huyajui. Hapa nikiwa Arusha kikazi
 Nakupenda sana ewe mdau wangu...Nakuomba muda wote uwe ni mtu wa furaha na achana na chuki. Raha jipe mwenyewe

Wakati wa shida na majaribu makali, mtegemee Mungu na usiangalie wanadamu.


No comments:

Post a Comment